This is an automatically generated PDF version of the online resource tanzania.mom-gmr.org/en/ retrieved on 2024/04/26 at 15:07
Global Media Registry (GMR) & Media Council of Tanzania - all rights reserved, published under Creative Commons Attribution-NoDerivatives 4.0 International License.
Media Council of Tanzania LOGO
Global Media Registry

Muungwana Blog

Muungwana Blog ni jukwaa/blog ya mtandao inayosambaza habari za matukio na habari za hivi karibuni nchini Tanzania. Inashughulikia habari za siasa, afya na kilimo, uhusiano, teknolojia, urembo na michezo kwa umma na kwa Kiswahili. Blog hii pia inashughulika na matangazo na masoko ya shughuli za utalii.

Kampuni hii imesajiliwa rasmi kwa Sheria za Tanzania. Inamilikiwa na Rashid Malik Said kwa 100% na kuongozwa na Mkurugenzi mmoja ambaye pia ni mmiliki wa hisa na kuendesha shughuli zake kutoka Dar es Salaam (TCRA, 2018).

Kwa mujibu wa utafiti wa GeoPoll (2018), Muungwana Blog ni miongoni mwa blog na tovuti maarufu za habari. Hadi Mei 1, 2018 Muungwana Blog imetimiza miaka mitatu tangu kuanzishwa kwake.

Taarifa muhimu

Isa za hadhira

Aina ya umiliki

Binafsi

Maeneo yanayofikiwa

Kimataifa

Aina ya maudhui

Maudhui huru

Taarifa zinazopatikana kiurahisi

Upatikanaji wa taarifa za umiliki kutoka kwa vyanzo vingine, kwa mfano vile vinavyotambulikana kisheria

2 ♥

Kampuni ya vyombo vya Habari

Muungwana Blog

Umiliki

Muundo wa umiliki

Muungwana Blog ni Mtoa Taarifa Mtandaoni iliyosajiliwa TCRA , mmiliki wa hisa pekee ni Rashid Malik Said ambaye hajioneshi.

Haki ya kuchagua

Taarifa zisizopatikana

Mmiliki Binafsi

Kampuni ya vyombo vya Habari
Halisia

Maelezo yote

Mwaka wa kuanzishwa

2015

Mwanzilishi

Rashid Malik Said - ni muendesha blogi pia ni Muasisi, Mkurugenzi na Mwanahisa wa blogi ya Mungwana, inayoendesha shughuli zake jijini Dar es Salaam.

Mtendaji Mkuu

Rashid Malik Said - angalia hapo juu

Mhariri Mkuu

Hakuna taarifa kuhusu chumba cha habari

Mawasiliano

P. O. Box 90023

DAR ES SALAAM

rms.rashidmalik@gmail.com

Tel :+255 719788949

Taarifa za kifedha

Taarifa ya Kifedha

Taarifa zisizopatikana

Faida za uendeshaji

Taarifa zisizopatikana

Utangazaji(jumla ya mapato kwa asilimia)

Taarifa zisizopatikana

Isa katika soko

Taarifa zisizopatikana

Maelezo ya ziada

Taarifa ya ziada

Idadi ya hadhira kwa mujibu wa utafiti wa GeoPoll (Aug 30 – Sep 1st, 2018), uliyodhaminiwa na MOM Tanzania. Mitandao ya kijamii, tovuti za kutafuta habari, na tovuti za matangazo hazikuingizwa kwenye uchambuzi wa umiliki.

  • Project by
    Media Council of Tanzania
  •  
    Global Media Registry
  • Funded by
    BMZ