Dr. Gideon H Kaunda
Kwa mujibu wa dodoso lililorudishwa kutoka Econet inayoendesha TV1 nchini anzania, Gideon Kaunda ana hisa 10% kwenye kampuni hiyo. Hata hivyo, kumbukumbu kutoka BRELA zinaonesha kuwa ana hisa 75 za Daraja A.
Dkt Gideon H. Kaunda ni Corporate Lawyer and Communications and Transport Specialist mwenye uzoefu mkubwa wa huduma za uendeshaji mradi na ushauri wa sheria. Hivi sasa ni mwenyekiti wa Pangaea Securities (EA) Ltd na kufanyakazi kama “ad hoc Arbitrator katika International Court on Aviation and Space Aviation (IASA).” Ni mkumbe wa Bodi ya Tanzania Private Sector Foundation (TPSF) ambaye ni mwenyekiti wa kamati ndogo ya Huduma za Wanachama na Kujenga Uwezo.
Zamani, Dkt Kaunda alifanyakazi ya “Principal Assistant Counsel and Legal Advisor” katika Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa miaka minane (1969-1977) na baadaye kuteuliwa kuwa Mwakilishi wa Serikali katika Court of Internation Civil Aviation Organisation (ICAO)” kwa kipindi cha miaka sita.
Dkt Kaunda alijiunga tena na serikali mwaka 1984 na kufanya kazi mbalimbali za ushauri elekezi (COMESA), Benki Kuu ya Dunia, Umoja wa Ulaya na kwingineko kabla ya kuazimwa kama “Special Assistance to the Chief Executive Officer of Alliance Air
Dkt. Gideon Kaunda ana shahada za LLB kutoka University of East Africa (Dar es Salaam College), LLM na PhD kutoka McGrill University, Montreal, Canada.
Biashara
Official Positions
Chairman of Pangaea Securities (EA) Ltd and services
Board Member Tanzania Private Sector Foundation (TPSF), Chairman of the Membership Services and Capacity Building Sub-Committee
seconded as Special Assistance to the Chief Executive Officer of Alliance Air
rejoined the Government in 1984 and took up various consultancy assignments with the PTA (COMESA), The World Bank, The European Union, among others
1977-1983: Representative of the Government of Tanzania on the Council of the Internation Civil Aviation Organisation (ICAO)
1969-1977: Principal Assistant Counsel and Legal Advisor to the East African Community
Familia & Marafiki
Maslahi jumuishi ya wanafamilia + Marafiki
hakuna taarifa zinazohusiana