This is an automatically generated PDF version of the online resource tanzania.mom-gmr.org/en/ retrieved on 2024/04/25 at 18:37
Global Media Registry (GMR) & Media Council of Tanzania - all rights reserved, published under Creative Commons Attribution-NoDerivatives 4.0 International License.
Media Council of Tanzania LOGO
Global Media Registry

Mpekuzi Huru

Mpekuzi Huru ni tovuti ya Tanzania inayohusika na utoaji huduma kwa njia ya mtandao hasa Habari za Burudani, Habari za Siasa, Umbeya wa Watu Mashuhuri na Taarifa Mbashara za Hivi Karibuni. Tovuti yake ya facebook ilianzishwa mwaka 2009. Inatoa matukio ya habari ya kila siku kwa taarifa za habari na habari zaidi kuhusu watu mashuhuri nchini Tanzania. Pia ni jukwaa la mtandao kwa ajili ya matangazo.

Kwa mujibu wa utafiti wa matumizi ya vyombo vya habari wa GeoPoll (Agosti 30 – Sept 1, 2018, 2018) Mpekuzi Huru inasomwa na  XX.XXX% ya hadhira ya Tanzania.

Mpekuzi Huru imepewa leseni na Mpekuaji Media, ambayo kwa mujibu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), inamilikiwa na John Bernard Mahega kwa hisa za 70% wakati Hellen Elibariki Mcharo ana hisa za 10%.

Kwa mujibu wa wasifu wake katika Linkedin, Mahega pia ni Mkurugenzi Mtendaji.

Taarifa muhimu

Isa za hadhira

Aina ya umiliki

Binafsi

Maeneo yanayofikiwa

Kimataifa

Aina ya maudhui

Maudhui huru

Taarifa zinazopatikana kiurahisi

Upatikanaji wa taarifa za umiliki kutoka kwa vyanzo vingine, kwa mfano vile vinavyotambulikana kisheria

2 ♥

Kampuni ya vyombo vya Habari

Mpekuaji Media

Umiliki

Muundo wa umiliki

Mpekuaji Media Mtoa Taarifa Mtandaoni iliyosajiliwa TCRA. Mahega na Mcharo wameorodheshwa kama wamiliki wa hisa, hata hivyo hazifikii 100%. Hakuna taarifa zaidi kuhusu wamiliki wengine wa hisa . Data ziliombwa BRELA lakini hazikupatikana

Haki ya kuchagua

Taarifa zisizopatikana

Mmiliki Binafsi

Kundi / Mmiliki Binafsi

Hellen Elibariki Mcharo

Hajioneshi. Hakuna taarifa zinazomhusu

10%
Kampuni ya vyombo vya Habari
Halisia

Maelezo yote

Mwaka wa kuanzishwa

2009

Mwanzilishi

John Benard Mahega – hajioneshi sana kwa umma. Wasifu wake katika mtandao wa linkedin hauna taarifa za kutosha. Hata hivyo alianza kufanyakazi kama Mkurugenzi Mtendaji wa Mpekuzi mwaka 2012.

Mtendaji Mkuu

John Bernard Mahega - angalia hapo juu

Mhariri Mkuu

Hakuna taarifa kuhusu chumba cha habari

Mawasiliano

P. O. Box 10093

MWANZA

Tel: +255682985471

mpekuzigroup@gmail.com

Taarifa za kifedha

Taarifa ya Kifedha

Taarifa zisizopatikana

Faida za uendeshaji

Taarifa zisizopatikana

Utangazaji(jumla ya mapato kwa asilimia)

Taarifa zisizopatikana

Isa katika soko

Taarifa zisizopatikana

Maelezo ya ziada

Taarifa ya ziada

Idadi ya hadhira kwa mujibu wa utafiti wa GeoPoll (Aug 30 – Sep 1st, 2018), uliyodhaminiwa na MOM Tanzania. Mitandao ya kijamii, tovuti za kutafuta habari, na tovuti za matangazo hazikuingizwa kwenye uchambuzi wa umiliki.

  • Project by
    Media Council of Tanzania
  •  
    Global Media Registry
  • Funded by
    BMZ