This is an automatically generated PDF version of the online resource tanzania.mom-gmr.org/en/ retrieved on 2024/03/28 at 17:33
Global Media Registry (GMR) & Media Council of Tanzania - all rights reserved, published under Creative Commons Attribution-NoDerivatives 4.0 International License.
Media Council of Tanzania LOGO
Global Media Registry

E-FM Company Limited

E-FM Company Limited

E-FM Company Limited ni kampuni binafsi inayomiliki kituo cha TV (TVE) na kituo cha Redio (E-FM Redio). Ilianzishwa mwaka 2014. Makao yake makuu ni Dar es Salaam, Tanzania.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka Wakala ya Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) zinaonesha kuwa E-FM Company Limited imeanzishwa na kumilikiwa na ndugu watatu ambapo Francis Antony Ciza anamiliki 40% ya hisa, Jean Claude Ciza 40% ya hisa na Justine Antoine Ciza anamiliki 20%.

Licha ya kuwa miongoni mwa wanahisa na Mtendaji Mkuu wa E-FM Company Limited, Francis Antony Ciza pia anamiliki zaidi ya Night Club noja zilizo katika mikoa mbalimbali nchini. Pia aliwahi kuwa DJ (DJ Majizzo) wa Magic FM radio.

Mwaka 2017, Francis Antony Ciza alikamatwa na polisi kuhusiana na makosa ya dawa za kulevya (heroin), hata hivyo aliachiwa kwa kukosa ushahidi.

Taarifa muhimu

Aina ya Biashara

Binafsi

Mfumo kisheria

Kampuni ya dhima yenye kikomo

Nyanja za Kibiashara

E-FM Company Limited imesajiliwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Wakala ya Usajili wa Bishara na Leseni (BRELA) na kusajiliwa TCRA kama mtangazaji wa televisheni na redio pamoja na huduma ya maudhui mtandaoni

Umiliki

Mmiliki Binafsi

The Ciza Family

Jean Claude Ciza. Hajioneshi. Hakuna taarifa inayomuhusu

40%
Vyombo vya habari
Other Media Outlets

Televisheni zingine

TV E

Radio nyingine

E-FM

Digitali nyingine

efm.co.tz

Halisia

Chombo cha habari cha kibiashara

Utangazaji kwa nia ya Redio

E-FM Company Limited

Utangazaji kwa nja ya Televisheni

E-FM Company Limited

Huduma za Maudhui Mtandaoni

E-FM Company Limited

Biashara

hakuna

none

Maelezo yote

Mwaka wa kuanzishwa

Start: April 2014 on a trial basis

Mwanzilishi

Justina Antoine Ciza.
Francis Antony Ciza - owns more than one night club located in various regions in the country and he is a former DJ at Magic FM radio .
Jean Claude Ciza.

Waajiriwa

Taarifa zisizopatikana

Mawasiliano

E-FM Company Limited;

P.O. Box 71476, Dar-Es-Salaam;

Tel.: +255222780320;

E-Mail: info@efm.co.tz

Namba ya kutambulika

BRELA Incorporation N°99220

Taarifa za kifedha

Taarifa ya Kifedha

Taarifa zisizopatikana

Faida za uendeshaji

Taarifa zisizopatikana

Utangazaji(jumla ya mapato kwa asilimia)

Taarifa zisizopatikana

Utawala

Bodi ya utendaji + Bodi Maslahi ya utendaji

Taarifa zisizopatikana

Bodi isiyo ya utendaji + Bodi maslahi isiyo ya utendaji

Taarifa zisizopatikana

Maelezo ya ziada

Taarifa zinazopatikana kiurahisi

Upatikanaji wa taarifa za umiliki kutoka kwa vyanzo vingine, kwa mfano vile vinavyotambulikana kisheria

2 ♥

Taarifa ya ziada

Company profile available at BRELA. Registered at TCRA. No return of questionnaire.

  • Project by
    Media Council of Tanzania
  •  
    Global Media Registry
  • Funded by
    BMZ