This is an automatically generated PDF version of the online resource tanzania.mom-gmr.org/en/ retrieved on 2024/04/16 at 09:09
Global Media Registry (GMR) & Media Council of Tanzania - all rights reserved, published under Creative Commons Attribution-NoDerivatives 4.0 International License.
Media Council of Tanzania LOGO
Global Media Registry

AYO TV TZA Company Limited

AYO TV TZA Company Limited

Ayo TV TZA Company Limited ni kampuni ya vyombo vya habari kwa njia ya mtandao wa dijiti nchini Tanzania iliyoanzishwa na kumilikiwa na Millard Alfred Ayo (anamiliki hisa 900) na Ivan Ayo (anamiliki hisa 100). Kwa mujibu wa taarifa kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania – TCRA, AYO TV TZA Company Limited imepewa Online Content Services Licence. Nakao makuu nyake yako Dar es Salaam, Tanzania.

Ayo TV TZA Company Limited ina tovuti ya TV mtandaoni: MillardAyo.com andAYOTV. Maudhui yanayorushwa kwenye vyombo hivi vya habari vya mtandao na blog ni habari kwa jumla zinazohusiana na burudani, michezo, afya na siasa. Pia Millard Ayonewscan inapatikana kwenye Youtube, GooglePlay & AppleStore, FaceBook, Twitter @millardayo na Instagram yenye wasomaji 3.9milioni.

Licha ya kumiliki vyombo vya habari vya mtandao na blog, Millard Ayo bado anaendelea kufanyakazi Clouds Media kama mtangazaji wa redio wa kipindi cha “Count down” kinachorushwa kila siku kuanzia saa 1 usiku.

Millard Ayo alizaliwa 16 Januari, 1986 nchini Tanzania. Amefanyakazi kama mtaalamu wa vyombo vya habari kabla ya kuanzisha blog yake iliyopata tunzo.

Wasifu wa kampuni katika Wakala ya Usajili wa Biashara na Utoaji Leseni (BRELA) iliyoombwa 14 Septemba, 2018 inaonesha kuwa kampuni hii ya vyombo vya habari haijajaza mapato ya mwaka BRELA kwa miaka 2016,2017 na 2018. Kutofanya hivyo kunakiuka Kifungu cha 128(1) na 132(1) cha Tanzania Companies Act 2002 (Cap.RE 212)

Taarifa muhimu

Aina ya Biashara

Binafsi

Mfumo kisheria

Kampuni ya dhima yenye kikomo

Nyanja za Kibiashara

AYO TV TZA Company Limited is a registered Online Content Service at TCRA. It is also is registered at The United Republic of Tanzania Business Registrations and Licensing Agency (BRELA) to operate in online media.

Umiliki

Mmiliki Binafsi

Millard A. Ayo

alizaliwa tarehe 16 Januari, 1986 nchini Tanzania. Alianza kufanyakazi kama mtaalamu wa vyombo vya habari na kuanzisha kwa ubia blogi yake iliyojipatia tuzo. Bado anaendelea kufanyakazi na Clouds Media kama mtangazaji.

90%

Ivan Ayo

je ana uhusiano gani na Ayo?

10%
Vyombo vya habari
Other Media Outlets

Digitali nyingine

millardayo.com

Halisia

Chombo cha habari cha kibiashara

Huduma za Maudhui Mtandaoni

AYO TV TZA Company Limited

Biashara

Ni biashara ya vyombo vya habari tu

Hakuna

Maelezo yote

Mwaka wa kuanzishwa

2012

Mwanzilishi

Millard Afrael Ayo - alizaliwa tarehe 16 Januari, 1986 nchini Tanzania. Alianza kufanyakazi kama mtaalamu wa vyombo vya habari na kuanzisha kwa ubia blogi yake iliyojipatia tuzo. Bado anaendelea kufanyakazi na Clouds Media kama mtangazaji.

Waajiriwa

more then 13

Mawasiliano

AYO TV TZA Company Limited

P. O. Box 3842

DAR ES SALAAM

ayotvtzacompany@gmail.com

Tel: +255655141619

Namba ya kutambulika

BRELA Incorporation N°118775

Taarifa za kifedha

Taarifa ya Kifedha

Taarifa zisizopatikana

Faida za uendeshaji

Taarifa zisizopatikana

Utangazaji(jumla ya mapato kwa asilimia)

Taarifa zisizopatikana

Utawala

Bodi ya utendaji + Bodi Maslahi ya utendaji

Millard Ayo

Director and Owner. See more information on his profile.

Bodi isiyo ya utendaji + Bodi maslahi isiyo ya utendaji

Taarifa zisizopatikana

Bodi ya usimamizi + Bodi Maslahi ya usimamizi

Taarifa zisizopatikana

Watu muhimu wenye ushawishi + watu maslahi wengine muhimu

Taarifa zisizopatikana

Maelezo ya ziada

Taarifa zinazopatikana kiurahisi

Upatikanaji wa taarifa za umiliki kutoka kwa vyanzo vingine, kwa mfano vile vinavyotambulikana kisheria

2 ♥

Taarifa ya ziada

Company profile available at BRELA and TCRA. Questionnaires returned with scarce information.

  • Project by
    Media Council of Tanzania
  •  
    Global Media Registry
  • Funded by
    BMZ