This is an automatically generated PDF version of the online resource tanzania.mom-gmr.org/en/ retrieved on 2024/03/29 at 14:34
Global Media Registry (GMR) & Media Council of Tanzania - all rights reserved, published under Creative Commons Attribution-NoDerivatives 4.0 International License.
Media Council of Tanzania LOGO
Global Media Registry

Tanzanian Standard Newspaper

Tanzanian Standard Newspaper

Tanzania Standard Newspapers Limited (TSN) ni shirika la umma lililoanzishwa tarehe 0 Februruari, 1970, chini ya Sheria ya Mashirika ya Umma, 1961. Hivi sasa TSN ni kampuni ya binafsi ya dhima yenye kikomo (LTD) inayomilikiwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yenye 99% ya hisa na Mhariri Mtendaji, ambaye pia ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa masuuli (1% ya hisa).

Historia ya Tanzania Standard Newspapers Ltd imwanzia 1 Januari, 1930 wakati kampuni ya Kenya, East Africa Consolidated Holdings ilipoanzisha Tanganyika Standard Newspapers Ltd. Hata hivyo, baadaye kampuni ya biashara ya Uingereza, London-Rhodesia (LONRHO) ilinunua hisa nyingi Tanganyika Standard Newspapers Ltd mwaka 1961. Badala yake, iliunda kampuni mbili tofauti za Tanganyika Standard Newspapers Limited (TSN) na Printpack Tanganyika Limited (TPL). TSN ilichapisha Tanganyika Standard na Sunday News wakati Printpack iliyachapa. Mwaka 2006, TSN ilinunua mashine zake za uchapishaji.

Terehe 5 Februari, 1970, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilitaifisha Tanganyika Standard Newspaper na kuanzisha Tanzania Standard Newspapers Limited, shirika la umma linalomilikiwa na serikali.

TSN inamiliki na kuchapisha magazeti ya kila siku ya kurasa pana ya Daily News na toleo la Jumapili la Sunday News, Habari Leo la kiswahili ambalo ni dogo lilianzishwa mwaka 2006 na Spotileo, gazeti la michezo lililoanzishwa mwaka 2011. Aidha, inamiliki na kuchapisha magazeti matano. Katika kila wizara ya serikali, idara, mamlaka ya usimamizi na shirika, ni lazima wanunue na kusoma magazeti ya Daily News na Habari Leo.

Hivi karibuni, TSN imepanua biashara yake na kujumjuisha matangazo kwa njia ya mtandao, utayarishaji wa makala za televisheni, ushauri, ubia, mikutano ya biashara, upigaji wa picha za biashara na mafunzo. Mipango inaendelea kuanzisha shirika la habari.

Taarifa muhimu

Aina ya Biashara

Umma

Mfumo kisheria

Shirika la Umma

Nyanja za Kibiashara

Uchapishaji

Umiliki

Mmiliki Binafsi

Government

ina shauku ya umiliki wa vyombo vya habari tangu Mei, 1961 wakati Tanzania Bara ilipopata Madaraka na kutayarisha utaratibu wa utawala tayari kwa uhuru. Inaendesha TSN pia chombo cha utangazaji cha umma cha TBC

99%

Managing Editor

ni mhariri mtendaji, anateuliwa na serikali.

1%
Vyombo vya habari
Other Media Outlets

Magazeti mengine

Daily News

Digitali nyingine

registered as a Online Content Service at TCRA.

Halisia

Chombo cha habari cha kibiashara

Uchapishaji Kibiashara

TSN inaendesha viwanda vichache vya uchapishaji magazeti nchini

Biashara

hakuna

none

Maelezo yote

Mwaka wa kuanzishwa

April 1972

Mwanzilishi

Government - nationalized the formerly privately owned Tanzania Standard.

Waajiriwa

Taarifa zisizopatikana

Mawasiliano

Tanzania Standard(Newspapers) Ltd

Daily News Building

Plot No. 11/4 Nelson Mandela Expressway

P.o.Box 9033

Phone: 073-2 923559

Email: info@tsn.go.tz

Namba ya kutambulika

BRELA incorporation n°: 2648

Taarifa za kifedha

Taarifa ya Kifedha

Taarifa zisizopatikana

Faida za uendeshaji

Taarifa zisizopatikana

Utangazaji(jumla ya mapato kwa asilimia)

Taarifa zisizopatikana

Utawala

Bodi ya utendaji + Bodi Maslahi ya utendaji

Dr Jim Yonazi.

TSN Managing Editor

Bodi isiyo ya utendaji + Bodi maslahi isiyo ya utendaji

Hab Mkwizu

TSN Board of Directors Chairman

Watu muhimu wenye ushawishi + watu maslahi wengine muhimu

President

appoints the managing editor and the chairman of the board.

Maelezo ya ziada

Uwazi hafifu

Upatikanaji wa taarifa za wamiliki kutoka kwenye kampuni/chaneli

3 ♥

Taarifa ya ziada

Company registered at BRELA, profile requested, still pending. Questionnaires were returned.

Vyanzo

Ag Managing Editor, Tanzanian Standard Newspapers Limited (October 2018). Media Ownership Monitor Questionnaire Tanzanian Standard Newspapers Limited.

  • Project by
    Media Council of Tanzania
  •  
    Global Media Registry
  • Funded by
    BMZ